Akiba

Manufaa ya kuweka akiba


  1. Kwa matumizi ya baadaye ya mwenye akiba
  2. Kujenga mtaji wa kukopeshana miongoni mwa wanachama hivyo kuepuka mikopo yenye masharti magumu toka kwenye taasisi zinazokopesha SACCOS
  3. Kupata faida juu ya akiba
  4. Kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba ya baadaye.
  5. Kusaidia kudhibiti mkondo mzuri wa uchumi (mfumuko wa bei).

Mifumo ya uwekaji akiba


  1. Kupitia makato ya mishahara ya kila mwezi
  2. Kupitia "bankers orders" kadri itakavyokubaliwa na pande husika
  3. Kulipia kwenye "account" ya Bandarini SACCOS iliyopo benki.
Copyright © 2019 Bandarini SACCOS LTD . All Rights Reserved 
Powered by Webnode Cookies
Create your website for free! This website was made with Webnode. Create your own for free today! Get started